The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: Katiba Mpya – Page 2

Ismail Jussa: Sikubaliani na Hoja Kwamba Mchakato wa Katiba Mpya Uanze Baada ya 2025

Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.