The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: serikali ya umoja wa kitaifa – Page 6

Ismail Jussa: Sikubaliani na Hoja Kwamba Mchakato wa Katiba Mpya Uanze Baada ya 2025

Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.

Nini Kimesababisha Mgogoro wa Urusi na Ukraine?

Wengi wanaamini mlango wa mazungumzo unaweza ukafunguka tena. Hatua ya hivi karibuni ya nchi za ulaya na marekani kuzuia benki za Urusi kutumia mfumo wa kibenki wa swifti pamoja na NATO kuongeza majeshi karibu na mipaka ya Urusi inaweka shinikizo zaidi kwa Urusi kurudi kwenye mazungumzo.

Tuongee Kuhusu Shahada za Udaktari wa Heshima

Kufuatia hatua ya Mbunge Msukuma kutunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na chuo kimoja, hatua ambayo imezua mjadala mpana kuhusiana na utolewaji wa shahada hizo, ni muhimu kujiuliza hizi ni shahada za mchango au mchongo?