Ripoti ya CAG: ACT-Wazalendo Yapendekeza Njia Nne Kudhibiti Ubadhirifu Serikalini
ACT-Wazalendo yataka uwazi uongezeke ndani ya Serikali na Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali vizuri kama njia ya kuzuia ubadhirifu ndani ya Serikali usitokee.