The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: serikali ya umoja wa kitaifa – Page 8

Je, Rais Mwinyi Ni Abiy Wa Zanzibar?

Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?

Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa

Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho. 

Serikali za Majimbo na Ajenda ya Utaifa

Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.

Zama za Samia, Zitto na Mbowe

Nchini Tanzania kuna ombwe la kupata mwanasiasa ambaye anaya makundi yote yaliyopo nchini kama alivyokuwa Edward Lowassa mwaka 2015. Watanzania hawajamwona mwanasiasa huyo bado.

Mchuano Mkali Urais TLS

Wagombea watano wanapambana kumrithi Rais wa sasa wa TLS, Dk Rugemeleza Nshala. Haya ni maono yao na mikakati ya kuibadilisha TLS kama watapewa ridhaa na wanasheria wenzao.