Tumejifunza Nini Kutoka Mkutano wa Pili wa Urathi wa Maalim Seif?
Dira yake ya kutaka kuigeuza Zanzibar kuwa ‘Singapore ya Afrika’ ilitawala mkutano wa kuenzi urathi wake kwenye elimu.
Dira yake ya kutaka kuigeuza Zanzibar kuwa ‘Singapore ya Afrika’ ilitawala mkutano wa kuenzi urathi wake kwenye elimu.
Kwa kuamua kutumia Kiingereza badala ya Kiswahili, tena nchini Tanzania ambapo watu wake wengi ni wazungumzaji wa Kiswahili, Rais Ruto amezipa nguvu kasumba zinazohusu lugha hizo mbili.
Ataka mifumo na taasisi ziwekwe ambazo zitahakikisha watawala wanawajibika kwa wananchi.
Nilikuwa mmoja kati ya watu wengi walioteswa vikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Natumai kisa changu kitachangia kwenye michakato inayoendelea nchini ya kutafuta maridhiano ya kisiasa na kuboresha mfumo wa utoaji haki.
Anasema mambo haya hayakupatiwa ufumbuzi kwenye mchakato wa 2011 na muhimu yakapatiwa ufumbuzi sasa.
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Chama hicho kinadai bajeti imeshindwa kutoa muelekeo sahihi ambao Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inaelekea.
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved