
ZBC, HabariLeo Waongeze Umakini Matumizi ya Kiswahili Fasaha, Sanifu
Jambo linalosikitisha zaidi kwenye makosa ya Kiswahili yanayofanywa na wanahabari ni kwamba makosa hayo hufanywa na vyombo vya habari vya Tanzania, nchi inayojinasibu zaidi na Kiswahili sanifu na fasaha.







