
Ofisi ya Mufti Zanzibar: Vitendo vya Udhalilishaji Watoto Vinahuzunisha
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
Mfumo huo wa utoaji stakabadhi umeanza utekelezaji kwenye mwaka unaendelea wa fedha wa 2021/2022 hapo Julai 1, 2021, na kuja kupata umaarufu zaid mwanzoni mwa mwezi Februari 2022 baada ya mamlaka husika kuanza ufuatiliaji wa kuhakikisha wafanyabiashara wanatumia mfumo huo.
Serikali visiwani humo inapanga mikakati ya kuwawezesha wakulima kupanda mwani kwenye maji ya kina kirefu ili kukwepa athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia ya nchi yanayoripotiwa kudumaza mwani unaolimwa kwenye maji madogo.
In our briefing today: Religious leaders met Samia on Wednesday. Here’s what they told her; Ambassador to hold talks with Zanzibar authorities over the fate of stranded Ukrainians; Inside Zanzibar’s use of drones in efforts to eliminate malaria; VP Mpango leaves for Kenya for global environmental summit.
Ukraine na Zanzibar wanafanya mazungumzo ya kuwasafirisha raia hao wapatao 900 mpaka nchini Poland ambayo kwa sasa inapokea wakimbizi wengi kutoka Ukraine.
In our briefing today : How war in Ukraine could affect tourism in Tanzania; OGP condemns ‘unjustified and unprovoked’ Russian attack on Ukraine; World Bank: Tanzania’s debt distress has worsened; 14 missing as Tanzania registered Cessna Caravan crashes off the Comoros.
Ingawaje Rais Mwinyi ameahidi kuunda tume kushughulikia kesi za migogoro ya ardhi visiwani humo, Wazanzibari ambao wamekuwa wakihangaika na kesi hizo miaka nenda rudi hawana imani kama tume hiyo itakuwa na msaada kama itaundwa na watendaji wale wale ambao uadilifu wao ni wa kutiliwa mashaka.
With some Russian banks disconnected from the SWIFT service which is without an alternative most Russian travellers, including those with plans to visit Tanzania, will most likely think twice before they embark on the journey and there is a likelihood of cancelling their plans altogether.
In our briefing today: Zanzibar commits to support Ukrainians stuck in the archipelago; Tanzania intervenes to stabilize fuel prices as the Russia-Ukraine war rages; Lightning kills seven in Rukwa, leaving 14 others injured.
The archipelago’s president says that already hoteliers serve Ukrainians without charging them with the government planning to consider the hoteliers in tax calculations and payment.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved