
Zanzibar’s Painful COVID-19 Stories
From lay-offs to dwindling government revenues Zanzibar, has seen the worst of COVID-19.
From lay-offs to dwindling government revenues Zanzibar, has seen the worst of COVID-19.
Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.
Wadau wanasema juhudi za kuokoa ndoa zisivunjike Zanzibar lazima ziendane na juhudi za kupinga ukatili katika ndoa.
Tanzania Mainland cannot be safe if Zanzibar is at risk.
The giant of Zanzibar politics died at the Muhimbili National Hospital where he was undergoing treatment.
The Government of National Unity alone is not the change we seek. It is only the chance to make that change happens.
Mapinduzi ya Zanzibar yanafanywa kuwa ni utambulisho wa tabaka fulani na asiyenasibishwa nayo hana haki ya kuchagua wala kuchaguliwa.
Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved