Zanzibar Yafafanua Madai ya Ubadhirifu Uuzwaji Nyumba za Serikali Mji Mkongwe
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Yafuatia madai ya ACT-Wazalendo kwamba zoezi hilo limegubikwa na “kukosekana uwazi, maamuzi ya ubabaishaji na kukosekana uadilifu.”
Mamlaka visiwani humo zinasema kama kuna mtu mmoja hafurahishwi na jambo linaloweza kunufaisha watu 500, Serikali itaenda na watu 500.
Ni yule mwandishi aliyemuhoji kada wa CCM ambaye alidai kwamba hadhani Rais Mwinyi anapaswa kuwa Rais wa Zanzibar baada ya 2025.
The veteran CCM cadre Baraka Mohamed Shamte has been stripped of his party membership for “slandering in public” the president of Zanzibar.
Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.
Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.
It is followed by the duration or length of proceedings/cases in courts of law; low awareness of laws among citizens; and legal representation costs.
Ismail Jussa, mjumbe wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo, anatolea ufafanuzi wa suala hili na mengineyo mengi kwenye sehemu hii ya kwanza ya mahojiano maalum kati yake na The Chanzo.
Ni ujenzi wa msingi wa kupitishia maji katika eneo la Mfenesini, kisiwani Unguja, ili kuondoa kero kwa wananchi wa eneo hilo ambao makazi yao huathirika kila ifikapo kipindi cha mvua za masika.
Ofisi hiyo inahusisha vitendo hivyo na ushawishi wa shetani na watu kukosa hofu ya Mungu.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved