
Zanzibar Yachunguza Tukio la Mtuhumiwa Kufariki Mikononi Mwa Vyombo vya Ulinzi
Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.

Kijana huyo anadaiwa kupigwa na maafisa wa Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya hadi kupoteza maisha.

Women are unfairly represented in political and democratic leadership in Zanzibar, representing only 38 per cent of the House of Representatives.

Wananchi wameahidi kutoondoka kwenye eneo hilo bila fidia ambayo Serikali imegoma kulipa, ikisema haiwezi kulipa fidia kwa wavamizi.

Wanawake wanaamini kwamba umiliki wa ardhi kisheria utawasaidia katika jitihada zao za kukabiliana na ukatili wa kijinsia unaotajwa kutamalaki visiwani humo.

It follows a meeting between the WHO Country Representative and Zanzibar’s Minister of Health.

Ni Khairat Juma Bakari na Laura Msemwa, wanawake wawili waliouwawa kikatili Zanzibar, kwenye matukio mawili tofauti.

Miundombinu na mipango miji isiyo rafiki yatajwa kukwamisha uokozi wa haraka pindi majanga ya moto yanapotokea.

Information Minister says the process to develop new legislation is complete by 80 per cent.

Wazazi wenye watoto walemavu ambao ni waathirika wa udhalilishaji wanadhani hali za watoto wao zinawafanya wakose haki.

Serikali imewaonya wananchi kwamba unywaji wa maji hayo unaweza kupelekea kupata magonjwa mbalimbali, ikiwemo yale ya kuharisha.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved