
CCM Inatarajia Kujifunza Nini Hasa Kutoka BJP ya India?
Uhusiano baina ya vyama vya CCM na BJP ni jambo linalohitaji tafakuri na mawazo ya kina.

Uhusiano baina ya vyama vya CCM na BJP ni jambo linalohitaji tafakuri na mawazo ya kina.

Wakili ahimiza umakini kwenye kutoa taarifa binafsi, akisema sheria haitoi haki tu bali pia inaainisha wajibu.

Je, hizi vurugu za vikundi vya jamii zenye asili ya taifa moja kutaka kijenga na kuanzisha nchi yao siyo dalili za utumwa mpya?

Itategemea na namna watakavyokabiliana na changamoto za nchi zao na zile za kidunia, kama vile sera zisizorafiki dhidi yao.

Rais Samia ameonesha njia, kilichobaki ni sisi viongozi wa kiserikali, kisiasa, kijamii na kidini kuunga mkono na kusaidia kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya.

Kung’ang’ania kauli kwamba CCM Zanzibar ilishika dola kwa mtutu wa bunduki na hivyo haiwezi kuiachia kwa sanduku la kura ni kujiangamiza.

Waonya kwamba kufanya hivyo siyo tu kunachochea migogoro ya ardhi bila pia kuna athiri ustawi wa wananchi wa kawaida.

Hadhi yake ya kuwa chama tawala nchini Tanzania kunawafanya Watanzania wafuatilie kila nyendo ya CCM.

Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC

Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved