
Sakata la Wanyamapori Hai na Ugeugeu wa Sera za Kibiashara Tanzania
Serikali ni lazima ijue kuwa Tanzania haitaweza kupaa kiuchumi kama sera na taratibu za kibiashara zitakuwa zinabadilika kila siku.
Serikali ni lazima ijue kuwa Tanzania haitaweza kupaa kiuchumi kama sera na taratibu za kibiashara zitakuwa zinabadilika kila siku.
Sensa ni hatua muhimu kwenye mchakato mzima wa kuwaletea wananchi maendeleo.
In our briefing today: Tanzanians mark the 58th anniversary of the Union between Tanganyika, Zanzibar; Bosch Rexroth appoints Tansec Limited as its distributor in Tanzania; Lawmakers in Zanzibar to start debating govt budget today.
Union Day should be an opportunity to reflect more deeply on the type of Union the country aspires to have.
In our briefing today: Police release activist Peter Madeleka after holding him incommunicado for six days; Barrick reports water pipeline failure at its North Mara mine; Its Union Day.
Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.
Katika makala hii, Mbunge wa Ubungo (CCM) Profesa Kitila Mkumbo anarejea mchango wa Rais Magufuli katika ujenzi wa Tanzania kwa kuainisha pale Magufuli alipoikuta Tanzania na alipoiacha wakati anafariki, na hivyo kujenga msingi wa kuelewa Tanzania inapoelekea chini ya uongozi wa Rais Samia Suluhu Hassan.
Kiongozi huyo wa upinzani ameendelea kusisitiza msimamo wa chama chake wa kutanguliza mapambano ya Tume Huru ya Uchaguzi akisema taasisi hiyo ni muhimu kwa sasa ili mapambano ya kudai mabadiliko mengine makubwa kama vile Katiba Mpya yaweze kufanikiwa.
Baadhi ya wadau wangetegemea nchi za Afrika ziitete Ukraine ambayo katika mgogoro huu ni taifa dhaifu kuliko hasimu wake Urusi. Mantiki hii inatokana na busara kuwa nchi zisizo na nguvu zinateteana.
Mwenyekiti huyo wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora anasema kwamba Serikali ilianzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya kwa sababu ilioni hatua hiyo ni muhimu kwa taifa na hivyo haina budi kuukamilisha mchakato huo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved