Tume Yataka Uchunguzi Mali Zilizotaifishwa Chini ya Utaratibu wa Kukiri Kosa
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakilalamika mali zao kutaifishwa kupitia utaratibu wa kukiri makosa ya jinai.
Baadhi ya wananchi wamekuwa wakilalamika mali zao kutaifishwa kupitia utaratibu wa kukiri makosa ya jinai.
Mwabukusi anatakiwa kupeleka utetezi wake katika Kamati ya Maadili ya Mawakili ndani ya siku ishirini na moja. Kama utetezi wake hautakubalika moja ya adhabu inayotegemewa katika shauri hili ni kuvuliwa uwakili kwa kuondolewa katika orodha ya mawakili Tanzania.
Kati ya watu 3,000 na 5,000 wanadaiwa kupoteza maisha tangu mapigano yaibuke Sudan hapo Aprili 15.
Msingi wa madai ya kampuni ya Indiana ni Mkataba wa Uwekezaji Baina ya Nchi Mbili (BIT) kati ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Ufalme wa Uingereza (UK)
Watu wanaoibua suala la Serikali ya Tangayika hawaijui vizuri historia yetu au wanajua ila kwa makusudi wameamua kuupotosha umma.
Analysts think what matters is what the government will do now.
In our briefing today: Bunge approves govt’s Sh44.39 trillion budget; Govt in robust initiative to improve Tanzania’s wine processing sector; Muungano: A much-needed renewal of vows; African philanthropy’s transformative role in driving collective action for sustainable development.
Awataka watoe hoja zenye mantiki na siyo kujificha kwenye kivuli cha Mwalimu Nyerere.
Apigia chapuo Kiingereza kutumika kama lugha ya kufundishia, akisema ni muhimu kwa Watanzania kujifunza lugha nyingi za kigeni kadiri inavyowezekana.
Historia ya Membe iwe fundisho kwa vijana wa kizazi cha leo kuwa mazingira yako duni ya sasa usiyaruhusu yawe kikwazo katika kupambana kufikia ndoto yako katika maisha.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved