
Mchuano Mkali Urais TLS
Wagombea watano wanapambana kumrithi Rais wa sasa wa TLS, Dk Rugemeleza Nshala. Haya ni maono yao na mikakati ya kuibadilisha TLS kama watapewa ridhaa na wanasheria wenzao.
Wagombea watano wanapambana kumrithi Rais wa sasa wa TLS, Dk Rugemeleza Nshala. Haya ni maono yao na mikakati ya kuibadilisha TLS kama watapewa ridhaa na wanasheria wenzao.
Jamii yetu imejikita kuangalia viongozi kama watoa dira, kiasi cha hata kusahau au kupuuza kwamba hao viongozi nao ni sehemu ya jamii.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved