
Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050: Wafanyakazi Wanapokosa Nguvu, ni Ngumu kwa Mwananchi Kunufaika na Ukuaji wa Uchumi
Tukuze uchumi ndiyo, lakini tuhakikishe ukuaji huo hautokei katika namna inayoathiri maslahi ya watu walewale ambao nguvu na jasho lao ndiyo zinategemewa kujenga nchi.








