Afrika Imejipanga Kukabiliana na Taathira za Teknolojia ya Akili Unde?

Afrika inapaswa kuandaa sera ya pamoja ya Akili Unde kulinda utu, ustawi, na maendeleo ya watu wake.
Juhudi za Dhati Zinahitajika Kuifikia Ajenda 2063 ya Afrika Tuitakayo

Mwendelezo wa mipango na uwezeshaji wa mipango hiyo bado imekuwa ni doa kubwa kwa AU na wanachama wake.
Tanzania Inaenda Kumuuzia Nani Kahawa Ndani ya AfCFTA?

Kahawa, ambayo soko lake kubwa ni mataifa ya nje, inaweza isiwe na tija kwa kuwa siyo bidhaa hitajika kwenye soko la Afrika kwa sasa.
Urusi Inavyotumia Karata ya Ulinzi, Usalama Kukita Mizizi Afrika

Afrika inatumika kama karata ya ushindi. Kwa mataifa makubwa ya kidunia, Afrika ni kama kete tu kwenye mchezo.
Fursa Tanzania Inaweza Kuvuna Kwenye Uzalishaji wa Mbolea

Uzalishaji huu utapunguza gharama za uingizaji wa mbolea kutoka mataifa ya nje, hivyo kumfanya mkulima kupata unafuu wa bei
GMO: Suluhisho la Usalama wa Chakula Afrika?

Kuna hofu kwamba matumizi ya mbegu za GMO yanaweza kuathiri uhuru wa mwanadamu kwenye upatikanaji wa chakula.
Je, Wimbi la Pili la Siasa za Kijamaa Amerika Kusini Litadumu?

Itategemea na namna watakavyokabiliana na changamoto za nchi zao na zile za kidunia, kama vile sera zisizorafiki dhidi yao.
AGOA: A lesson to learn from Rwanda

In 2015 the Presidents of Kenya, Rwanda, Uganda and Tanzania agreed that by 2018 their countries should be able to become more sufficient in the production of textiles using local raw materials and industries.