
Ni Kwa Namna Gani Mbowe Ataweza Kufaulu Mtihani Huu?
Ni kwa namna gani kiongozi huyo wa upinzani atasawazisha matakwa ya wafuasi wake na yale ya Serikali ya Samia ambayo sasa anaonekana kuelewana nayo baada ya kundosha mashtaka ya ugaidi dhidi yake?

Ni kwa namna gani kiongozi huyo wa upinzani atasawazisha matakwa ya wafuasi wake na yale ya Serikali ya Samia ambayo sasa anaonekana kuelewana nayo baada ya kundosha mashtaka ya ugaidi dhidi yake?

He says at the heart of TCD’s activities is the unshakable commitment to creating a conducive environment for doing politics in Tanzania as well as ensuring that economic developments do not come at the expense of people’s fundamental rights.

Watanzania hao walikamatwa kwa nyakati tofauti chini ya utawala wa Kikwete na Magufuli na wamekaa ndani kati ya miaka saba na tisa, huku wengine wakiwa wamekaa gerezani tangu mwaka 2013.

Ingawaje Rais Mwinyi ameahidi kuunda tume kushughulikia kesi za migogoro ya ardhi visiwani humo, Wazanzibari ambao wamekuwa wakihangaika na kesi hizo miaka nenda rudi hawana imani kama tume hiyo itakuwa na msaada kama itaundwa na watendaji wale wale ambao uadilifu wao ni wa kutiliwa mashaka.

Watanzania wametakiwa kufuata utaratibu rasmi pale wanapotaka kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kufanya kazi kwani hiyo inawarahishia kupata msaada stahiki pale wanapopatwa na tatizo linalohusiana na kazi kwenye nchi waliyofikia.

Watanzania takriban 437,000 kutoka maeneo mbali mbali ya nchi wanahisiwa kukabiliana na tishio la upungufu wa chakula.

[bt_bb_section layout=”boxed_1200″ lazy_load=”yes” show_video_on_mobile=”” show_sticky=”show-top” show_previous_posts=”show” force_posts_show=”default” order_by=”default” border=”default”][bt_bb_row][bt_bb_column order=”0″ lazy_load=”yes” width=”1/1″ width_lg=”1/1″ width_md=”1/1″ width_sm=”1/1″ width_xs=”1/1″][bt_bb_video video=”https://www.youtube.com/watch?v=hjH2VgCkvhI” disable_controls=”no” responsive=”” publish_datetime=”” expiry_datetime=”” animation=”no_animation” el_id=”” el_class=”” el_style=””][/bt_bb_video][/bt_bb_column][/bt_bb_row][/bt_bb_section]

Kumekuwapo na tuhuma kwamba katika utekelezaji wa majukumu yao Masheha wamekuwa wakikipendelea chama cha CCM na wakila njama za kuvidumaza vyama vya upinzani. Tuhuma hizi huibuka zaidi wakati wa michakato ya chaguzi kuu kuanzia utoaji wa kadi za Mzanzibari Mkaazi na usajili wa daftari la wapiga kura.

Wadau wa siasa nchini wanabainisha kwamba mnufaika mkubwa wa mtifuano kati ya vyama hivyo viwili vya upinzani nchini ni yule kila mmoja wao analenga kuitoa madarakani – CCM.

Wachumi hao wanabainisha juhudi zinazoendelea kuchukuliwa duniani za kupambana na janga la UVIKO-19, ikiwemo matumizi ya chanjo; kukamilika kwa ujenzi wa miradi mikubwa ya maendeleo inayotekelezwa na Serikali; pamoja na mvua zinazoendelea kunyesha kama zitaendelea kama msingi wa matumaini yao hayo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved