The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Author: Lukelo Francis

Mpango wa Wasanii Kulipwa Mirabaha Umefikia Wapi?

Mpango huo ulitegemewa kuanza Disemba 2021, lakini wakati Januari 2022 nayo inaenda kuisha wasanii wanasema kwamba hawajaanza kupokea mirabaha hiyo, huku wengi wakibainisha kwamba hawajui hata mchakato wenyewe umekwamia wapi.

Kilichojificha Nyuma ya Kuvuja kwa Video za Utupu Mitandaoni

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.

×