
Mother of a Missing Son Says She Rests Her Hope in God Instead of Police
LHRC said it was following up on the reports and will brief the public in due time.

LHRC said it was following up on the reports and will brief the public in due time.

The five men had gone missing since December 21, 2021, but their whereabouts remain an unsolved mystery.

Augustino Ilomo, kijana mwenye ulemavu wa kuongea na ambaye viungo vyake vya mwili havina uwezo wa kufanya kazi, amefaulu daraja la kwanza, alama 12, huku akifanya vizuri zaidi kwenye masomo ya Kiingereza na Hesabati kwa kupata daraja A.

Mpango huo ulitegemewa kuanza Disemba 2021, lakini wakati Januari 2022 nayo inaenda kuisha wasanii wanasema kwamba hawajaanza kupokea mirabaha hiyo, huku wengi wakibainisha kwamba hawajui hata mchakato wenyewe umekwamia wapi.

Kwa mujibu wa wahanga, video nyingi za utupu zinazosambaa mitandaoni zimevujishwa na kikundi cha wahalifu walioamua kuchukua hatua hiyo baada ya mabinti husika kukataa kutoa fedha ambazo wahalifu hao wamekuwa wakiwaomba ili wasivujishe video hizo za kashfa.

They say the arrangement that Ndugai used in his stepping down was unconstitutional, with NCCR-Mageuzi mulling the option of taking the matter to court.

Augustino Ilomo hana uwezo wa kuongea na baadhi ya viungo vyake vya mwili havifanyi kazi. Amehitimu kidato cha nne mwaka huu akiwa na matumaini ya kufaulu kwenda kidato cha sita.

The Head of State made the remarks during the ongoing two-day conference on the situation of multiparty democracy in Tanzania taking place in the capital Dodoma.

Wananchi waelezwe pia kwamba Katiba Mpya inamaanisha uchumi. Inamaanisha upatikanaji wa haki zao. Inamaanisha elimu. Inamaanisha afya. Siyo tume huru ya uchaguzi tu.

Kiongozi huyo wa dini anaiambia The Chanzo kwenye mahojiano maalum kwamba sera hiyo iliyotekelezwa na Serikali ya awamu ya kwanza ndiyo iliyoweka misingi ya ukosefu wa uadilifu miongoni mwa viongozi wa umma, kwamba ilijenga dhana kwamba Serikali inaweza kumiliki hata kile kisichokuwa chake.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved