Pius Msekwa: Vyama Vingi Maana Yake Ni Ushindani
Kada huyo wa CCM anasema moja ya sababu ya kuingia kwenye vyama vingi ni kusikiliza maoni ya watu
Kada huyo wa CCM anasema moja ya sababu ya kuingia kwenye vyama vingi ni kusikiliza maoni ya watu
Programu ya EMA-i hutumika katika uangalizi na utoaji wa taarifa zinazohusiana na magonjwa mbali mbali.
Serikali imekuwa ikiwashangilia raia wenye asili ya Tanzania wanapofanya vizuri ughaibuni lakini imekuwa nzito kuwapatia raia hao hadhi ya uraia pacha.
Dar es Salaam. Kuna changamoto nyingi sana zinazowakabili watu wanaoishi na maambukizi ya virusi vya UKIMWI nchini Tanzania. Na jitihada nyingi zinachukuliwa kuhakikisha kwamba changamoto
Dk Bagonza anataja sababu tatu kwa nini anaamini viongozi wa dini Tanzania wameshindwa kutimiza ipasavyo wajibu wao wa kupigania taifa la haki nchini.
“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
Mjumbe huyo wa Kamati Kuu ya ACT-Wazalendo anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba hajutii chama chake kujiunga na Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar kwani maridhiano yanahitajika kujenga taifa katika misingi ya umoja na maendeleo endelevu.
Wadau wanaitaka Mahakama kufuata nyayo za nchi jirani kwa kuruhusu baadhi ya kesi kurushwa mubashara.
Mwanaharakati huyo mashuhuri anaieleza The Chanzo kwenye mahojiano maalumu kwamba watoto wake wanamshangaa kwa nini anajisumbua kupigania utawala wa sheria nchini Tanzania.
Sehemu ya Fedha hizi ni zile zilizotolewa na IMF hivi karibuni.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved