
Jenerali Ulimwengu: Sakata la Bandari Limeonesha Tumepoteza Uwezo Kujadiliana kwa Hoja
Tumepoteza uwezo wa kujenga hoja. Tumefika mahala kwamba sasa Watanzania ni watu ama wa kufokeana ama kukaripiana ama kuonyana ama kutishana.

Tumepoteza uwezo wa kujenga hoja. Tumefika mahala kwamba sasa Watanzania ni watu ama wa kufokeana ama kukaripiana ama kuonyana ama kutishana.

Waraka wa Baraza la Maaskofu Katoliki uliotolewa Agosti 18,2023, kupinga mkataba wa Bandari kati ya Tanzania na Dubai,umesomwa leo katika misa mbalimbali za Kanisa Katoliki nchi nzima.

Kwa mujibu wa sheria hiyo taarifa binafsi ni taarifa kuhusu mtu anayetambulika ambazo zimetunzwa kwa namna yoyote

Tume inabainisha faida kadhaa za upelelezi binafsi, ikiwemo kusaidia kupata taarifa ambazo ni muhimu zinazohusiana na mashauri ya jinai.

Yasema utaratibu huo hukwamisha utekelezaji wa haki jinai nchini.

Ni kwenye zoezi la Serikali kuwahamisha wanavijiji vya Ukwavila na Iyala kupisha Hifadhi ya Taifa ya Ruaha.

Taarifa ya Jeshi la Polisi inakuja siku moja toka Mkuu wa Jeshi la Polisi IGP Camilius Wambura kusema watachukua hatua za kisheria juu ya watu wanaofanya uchochezi

Pia, imependekeza kutungwa kwa sheria mahususi ya dhamana itakayoainisha mfumo, mamlaka, na utaratibu wote wa dhamana Tanzania.

Baadhi ya wananchi wamekuwa wakilalamika mali zao kutaifishwa kupitia utaratibu wa kukiri makosa ya jinai.

Yataja athari zitokanazo na uwepo wa utitiri wa taasisi za upelelezi wa makosa ya jinai Tanzania.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved