
Mjadala Ripoti ya CAG: Wezi Serikalini Wamejifunza Kuiba Kisheria?Mbunge Atoa Hoja
Mvutano umeibuka Bungeni baada ya Mbunge Anatropia Theonest kutoa taarifa kuwa wezi ndani ya serikali wamejua namna bora ya kuiba huku wakiwasilisha vielelezo vinavyofanya wasikamatwe.








