Tozo ya Miamala ya Simu: Serikali Yabadili Msimamo Kuhusu Uangalizi Maalum
Sasa yasema fedha zitakazotokana na tozo ya miamala ya simu hazitachanganywa na fedha zingine.
Sasa yasema fedha zitakazotokana na tozo ya miamala ya simu hazitachanganywa na fedha zingine.
Tamaa za kupata utajiri kupitia watoto wao wa kike na kutojali ustawi wa mabinti hao hupelekea baadhi ya wazazi mkoani Mara kuwaozesha mabinti zao badala ya kuwaacha wajiendeleze kimasomo.
Benki ya Dunia (WB) imeonesha kusikitishwa kwake na ucheleweshwaji wa utolewaji wa takwimu kuhusu hali ya uchumi nchini na Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS)
Jitihada zaidi zinahitajika kujenga Tanzania inayomlinda mtoto dhidi ya ukatili na unyanyasaji.
Wito huo unafuatia ripoti inayoonesha kwamba Tanzania kwa sasa haina mwongozo wowote unaoeleweka wa namna bora ya kugawa bajeti inayotengwa kwenye elimu ili ielekezwe kwa ajili ya elimu jumuishi.
Wasema ubunifu usiwepo kwenye ukusanyaji wa mapato tu bali hata kwenye uwazi wa matumizi yake.
Ingawa wameguswa na msiba wa Rais Magufuli, wakazi wa Dar es Salaam wanalalamikia athari zitokanazo na katazo la kufanya sherehe, wakisema linaathiri ratiba na uchumi wao.
Dr John Pombe Magufuli, Raisi Wa Tanzania Amefariki Dunia
Asema tetesi za kuugua dhidi ya Rais Magufuli zinaenezwa na watu wasioitakia mema Tanzania.
Ni kutokana na kanuni ndogo mpya za TCRA zinazolenga kutatua kero za watumiaji wa huduma na kuongeza ustawi wa sekta ya mawasiliano nchini.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved