The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Mwandishi Wetu

Wakulima: Bei za Mbolea Zahatarisha Uzalishaji wa Chakula Nchini

Wakulima kutoka maeneo mbali mbali nchini Tanzania wamelalamikia ongezeko la bei ya mbolea nchini, wakisema kwamba ongezeko hilo “lisilo la kawaida” linahatarisha uzalishaji wa chakula nchini na kuzitaka mamlaka zinazohusika kuingilia kati kwa kutafuta suluhu za muda mfupi na za muda mrefu kabla madhara hayajakuwa makubwa sana.