
Serikali ya Tanzania Kuiuzia Zambia Tani 650,000 za Mahindi
Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano ya mauziano ya tani 650,000 za mahindi yenye thamani ya shilingi bilioni 650

Tanzania na Zambia zimeingia makubaliano ya mauziano ya tani 650,000 za mahindi yenye thamani ya shilingi bilioni 650

Inadaiwa kuwa Maningo amekamatwa kwa kuchapisha taarifa za siri za upelelezi, hata hivyo mpaka jioni ya Juni 15,2024, bado alikuwa mahabusu

Katika wasilisho lake hilo Shivji ameasa juu ya taifa kuepuka kufanyiwa majaribio katika utengenezaji wa dira yake.

Uchambuzi wa The Chanzo, uliojikita kwenye aina hiyo ya mikopo, pamoja na nyaraka za makubaliano kati ya Korea Kusini na baadhi ya wanufaika wa mikopo hiyo, madai hayo yanaonekana kuwa mbali na ukweli.

Jumla ya bilioni 460.33 zimepangwa kutumika na Wizara ya Mifugo na Uvuvi kwa mwaka wa fedha wa 2024/25.

Mei 13, 2024 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilijadili na kupitisha bajeti ya Wizara ya Afya kwa mwaka 2024/25 jumla ya shilingi trilioni 1.3

Katika mwaka huu wa fedha bajeti ya Wizara ya Elimu imechukua asilimia 3.99 ya bajeti yote ya Serikali.

katika tukio la Jumapili ya Mei 12,2024, jumla ya nchi 11 zimeathirika ikiwemo Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Mozambique, Mayotte, Malawi, Burundi, Madagascar. Mpaka sasa bado haijaelezwa chanzo cha hitilafu hiyo

Wanaharakati pia wanataka viongozi wa Serikali wawajibishwe kwa kujihusisha na vitendo vinavyokiuka haki za binadamu.

Wananchi wanalalamika Serikali kutumia mabavu kuwahamisha kwenye ardhi yao iliyobadilishwa kuwa hifadhi bila ushirikishwaji wa wanavijiji.