Uchambuzi Bajeti ya TAMISEMI 2024/25
Katika mwaka huu wa fedha 2024/25, bajeti ya TAMISEMI inachukua takribani asilimia 24 ya bajeti yote ya Serikali ingawa kwa ujumla bajeti hii haina utofauti sana na bajeti ya mwaka 2023/24
Katika mwaka huu wa fedha 2024/25, bajeti ya TAMISEMI inachukua takribani asilimia 24 ya bajeti yote ya Serikali ingawa kwa ujumla bajeti hii haina utofauti sana na bajeti ya mwaka 2023/24
Serikali imesema jambo la kutoa kibali cha kuruhusu kilimo na matumizi ya bangi ni suala ambalo halitakiwi kufanyiwa maamuzi ya haraka, inabidi serikali ijipe muda kufanya tafiti za kutosha ili ifanye maamuzi yenye tija.
Jumla ya washindi 30, kutoka tanzu za riwaya, ushairi na hadithi za watoto, walitangazwa, huku washindi wa kwanza kutoka kila tanzu wakijishindia vyeti, ngao na fedha taslimu Shilingi milioni kumi kila mmoja.
Katika maisha yangu ya hivi karibuni msukosuko mkubwa nilioupata na familia yangu ikatisika kidogo ilikuwa ni masuala ya uraia na ikanifundisha vitu fulani fulani.
Utendaji mzuri ni wa kujisimamia wenyewe, waandishi waachiwe wajisimamie wenyewe.
Nje ya wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama yaani Venance Mabeyo, Diwani Athumani Msuya na Simon Sirro. Watu wa kwanza kupewa taarifa za kifo cha Magufuli walikuwa ni Katibu Mkuu Kiongozi Bashiru Ally na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa
Mpango wa kuja na namba moja ya utambulisho kwa Watanzania toka kuzaliwa imeanza kufanyiwa kazi na inategemewa kukamilika mwishoni mwa mwaka 2025.
Mahakama yakubaliana na hoja za mawakili wa utetezi kuwa hakukuwa na ushahidi wa amri iliyotolewa na kupingwa na watuhumiwa hao.
Wamiliki wa Hospitali Binafsi Zanzibar (ZAPHOA) wamesema wamefikia uamuzi huo baada ya serikali kuonyesha utayari wa kurudi katika meza ya mazungumzo.
Mwinyi anasema kwamba uamuzi huo ulimjengea heshima Serikalini na kwenye jamii pia.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved