The Illusion of Reform: Unmasking the 4Rs and the Legacy of Mediocrity
As much as she may opt to engage in every kind of political delusion, Samia, in great substance, is very much kith and kin to her predecessor.
As much as she may opt to engage in every kind of political delusion, Samia, in great substance, is very much kith and kin to her predecessor.
Lissu’s speech can be viewed as a political blueprint for CHADEMA’s reforms agenda, setting the stage for a broader national conversation.
Sababu ni ufinyu wa mapendekezo ya wadau yaliyoanishwa kwenye sheria za uchaguzi, CCM yasema mabadiliko hayajafika kikomo.
Kung’ang’ania kauli kwamba CCM Zanzibar ilishika dola kwa mtutu wa bunduki na hivyo haiwezi kuiachia kwa sanduku la kura ni kujiangamiza.
Kati ya kujikanganya katika misimamo na kupoteza baadhi ya wanachama wake shupavu, CHADEMA imechagua la pili kujitanzua na hali iliyotishia kukipasua chama hicho cha upinzani
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.
Bunge la 12 limepewa jina la ‘Bunge la Kijani’ na baadhi ya wachambuzi. Ni bunge ambalo halitakuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani wala Baraza Kivuli la Mawaziri. Tutegemee nini kutoka kwa bunge hili?
Jumapili ya Novemba 8, 2020, Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) ilitoa taarifa kuwa vyama vyenye sifa ya kupata ubunge wa viti maalumu ni chama
The parties have vowed to lead an “indefinite demonstration” from Monday to pressurise authorities to announce election rerun as NEC dismisses claims of voter fraud
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved