
Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!

Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’

Tukio hili limeibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku watu mbalimbali akiwemo mfanyabiashara ambaye ndizi zake zilikamatwa wakihoji muktadha mzima wa Muungano.

Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.

Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.

“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.

Kwenye hotuba hiyo, Rais Samia anaeleza mtazamo wake kwa kile kilichotokea, wahusika wakuu waliokuwa nyuma ya matukio hayo, pamoja na kile anachoamini ni malengo haswa ya vitendo hivyo ambavyo yeye amevipa jina la “vurugu.”

Ili kufikia malengo ya kweli ya maridhiano, lazima watu waongee kwa uwazi, ukweli, wajumuishwe kupitia makundi yao ya uwakilishi, pasipo hofu, kificho wala hila.

Baadhi ya sura mpya katika Baraza jipya ni pamoja na Juma Zuberi Homera, Joel Arthur Nanauka, Paul Makonda pamoja na mtoto wa Rais Samia, Wanu Hafidh.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved