
Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.
As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!
Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’
Tukio hili limeibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku watu mbalimbali akiwemo mfanyabiashara ambaye ndizi zake zilikamatwa wakihoji muktadha mzima wa Muungano.
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.
“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.
TCRA imeeleza maudhui yaliyosababishwa kufungiwa kwa JamiiForums ni ya kupotosha umma, kukashifu na kudhalilisha Serikali na Rais wa Jamhuri ya Muungano
Hayo yamejiri kwenye mazungumzo kati ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Zimbabwe Kembo Campbell Mohadi ambaye yupo kwenye ziara ya kizazi nchini Tanzania kwa siku mbili.
ACT Wazalendo accuses INEC of violating democratic principles, constitutional rights, and electoral integrity through arbitrary administrative actions.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved