
Kwa Nini Nchi Zingine za Afrika Hazijiungi na Muungano wa Tanzania Kama Ilivyokuwa Lengo la Awali?
Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

Tanzania inapaswa kurekebisha Katiba yake na kuweka utaratibu utakaoziruhusu nchi zingine za Afrika, zinazotaka kufanya hivyo, kujiunga na Muungano.

As imperfect and flawed as the Union may be, we are stronger together!

Ismail Jussa anasema ‘Mamlaka Kamili’ haimaanishi wito wa kuvunja Muungano bali kuiwezesha Zanzibar kufaidi ‘mamlaka ya pamoja ya kidola.’

Tukio hili limeibua mjadala mkubwa katika mitandao ya kijamii, huku watu mbalimbali akiwemo mfanyabiashara ambaye ndizi zake zilikamatwa wakihoji muktadha mzima wa Muungano.

Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.

Hofu ilitoa mchango mkubwa sana katika kufanikissha tukio hilo kubwa katika historia ya Tanzania.

“Kero ya msingi ni muundo wenyewe wa Muungano. [Huu] ni muundo ambao haukutupa Muungano ambao una nchi zilizoungana zina hadhi sawa, zina haki sawa, zina wajibu sawa, zinanufaika sawa, [na] zina fursa sawa”.

Wanawake hao wamezuiwa katika maeneo mbalimbali ikiwemo Morogoro, Pwani na Geita

Dkt Mahfoudh anakuwa mwanamke wa tatu kushika wadhifa wa Naibu Gavana katika historia ya BOT, ambapo uteuzi wake umefuata uteuzi wa Sauda Msemo aliyeteuliwa na Rais Samia kuwa Naibu Gavana mnamo Juni 01, 2022.

Utenguzi huu wa Simbachawene unaonesha panda shuka yake katika safari ya kisiasa hususani katika nafasi ya Uwaziri. Kwani kwa nyakati tofauti amewahi kuondolewa kwenye Barazala Mawaziri na kisha kurejeshwa tena.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved