
Uchaguzi Mkuu Uganda 2026: Yanayofaa na Yasiyofaa Kuigwa Afrika Mashariki
Uchaguzi wa Uganda 2026 umekuja na matukio na vioja kadha wa kadha ambavyo ni ishara mbaya kwa demokrasia ya uchaguzi, visivyopaswa kuigwa

Uchaguzi wa Uganda 2026 umekuja na matukio na vioja kadha wa kadha ambavyo ni ishara mbaya kwa demokrasia ya uchaguzi, visivyopaswa kuigwa

Tunaweza kujifunza matumizi mazuri kwenye uchaguzi. Kwangu mimi, kufanya uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka 2024 na uchaguzi Mkuu mwaka 2025 ni ufujaji wa pesa za walipa kodi.

Serikali haina budi iyarekebishe mambo hayo kuiwezesha nchi yetu ipate sheria nzuri zaidi inayoanzisha, kuisimamia, na kuongoza shughuli za Tume ya Taifa ya Uchaguzi.

Wakati inafurahisha kuona Serikali ikitimiza ahadi yake, miswada hii inahitaji marekebisho makubwa kukidhi kiu ya Watanzania.

Marekebisho haya ya Katiba yaliondoa baadhi ya misingi ya kidemokrasia ambayo kwa sasa ndiyo inapigiwa chapuo iweze kurejeshwa.

Maboresho hayo hayaepukiki kuepusha maboresho ya sheria yanayotarajiwa kukinzana na Katiba.

Kalenda nzima ya nini kitaanza, na nini kitafuata, hatua kwa hatua hadi kupata Katiba Mpya, itapaswa kuandikwa katika Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Katiba.

Ifike wakati wanasiasa wa Afrika waone umuhimu wa kushirikiana.

Hoja kubwa ni, kwa nini tupunguze makali ya adhabu kidogo tu na siyo kuifumua sheria hiyo yote na kuisuka upya?

Kwa kiwango fulani migogoro nchini DRC imekuwa ikichochewa na wakolini wake wa zamani na mataifa mengine ya Magharibi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved