Ifike wakati wanasiasa wa Afrika waone umuhimu wa kushirikiana.
Ifike wakati wanasiasa wa Afrika waone umuhimu wa kushirikiana.
Hoja kubwa ni, kwa nini tupunguze makali ya adhabu kidogo tu na siyo kuifumua sheria hiyo yote na kuisuka upya?
Kwa kiwango fulani migogoro nchini DRC imekuwa ikichochewa na wakolini wake wa zamani na mataifa mengine ya Magharibi.
Ni kutokana na uwekezaji mkubwa taifa hilo la Afrika Magharibi linafanya kwenye sekta ya michezo.
Je, hizi vurugu za vikundi vya jamii zenye asili ya taifa moja kutaka kijenga na kuanzisha nchi yao siyo dalili za utumwa mpya?
Rais Samia ameonesha njia, kilichobaki ni sisi viongozi wa kiserikali, kisiasa, kijamii na kidini kuunga mkono na kusaidia kukamilisha mchakato wa Katiba Mpya.
Now that Samia has expressed her intention to revive the stalled constitution-writing process, civil society should take an active part in making sure the intention is realized.
Wakenya na dunia nzima wanasubiri kwa hamu kujua endapo Ruto atakuwa Rais wa tano wa Kenya au uchaguzi utarudiwa.
Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.
Je, tunapaswa kufanya kitu gani kama taifa kuweza kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi nchini pasipo kuleta athari za kijinsia kwa makundi mbalimbali, wakiwemo wanawake na watoto?