The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Author: Deus Kibamba

Hatua Tano Muhimu Kufikia Upatikanaji wa Katiba Mpya Tanzania

Hatua hizi zinazingatia mazingira ya namna mchakato wa Katiba Mpya ulivyoanza mwaka 2011; namna sheria muhimu za kuongoza mchakato zilivyopitishwa; utata uliojitokeza baada ya kukamilika kwa Rasimu ya Katiba Mpya; na mapungufu yaliyoukumba mchakato wa uwasilishaji rasimu kwenye Bunge Maalum la Katiba.

Mbivu, Mbichi Bajeti ya Tanzania 2022/2023

Je, tunapaswa kufanya kitu gani kama taifa kuweza kuongeza wigo wa makusanyo ya kodi nchini pasipo kuleta athari za kijinsia kwa makundi mbalimbali, wakiwemo wanawake na watoto?

Why Civic Space in Tanzania Requires Some Panel-beating

Tanzania should initiate a bill for the enactment of a Freedom of Association Law that would repeal and replace the NGOs Act No. 24 of 2002 and govern the free operations of voluntary organizations, groups, entities and activities.

Kuachiwa kwa Mbowe na Mapungufu ya Mfumo wa Utoaji Haki Tanzania

DPP, kama mfumo wa utoaji haki Tanzania ungekuwa mzuri, angeweza kusema kwamba katika kupitia upya ushahidi uliokusanywa kuhusu shauri husika, anaona, pasipo shaka yoyote, kuwa watuhumiwa hawawezi kutiwa hatiani na hivyo anaona kuwa ni kupoteza muda wa Jamhuri na watuhumiwa kuendelea na shauri husika.