Matukio ya Ulawiti, Ubakaji Yalivyoendelea Kutikisa Tanzania 2022
Ni hofu ya kila mzazi kuona mtoto wake anakuwa takwimu nyengine ya tatizo hilo linalozidi kukua nchini.
Ni hofu ya kila mzazi kuona mtoto wake anakuwa takwimu nyengine ya tatizo hilo linalozidi kukua nchini.
Wanashauriwa kwamba kuendelea kufanya hivyo ni kukiuka haki za msingi za watoto wao, ikiwemo ile ya kupata elimu.
Wadau wahimiza nguvu zaidi ielekezwe kwenye familia kwani huko ndiko ukatili hutokea na kufichwa.
The scope of the investigation is to find the real source of the accident as well as proposals for preventing similar accidents from occurring in the future.
Serikali inasema sera mpya ni muhimu kwani siyo tu italenga kuongeza idadi ya mifugo nchini bali pia ubora wa mifugo hiyo
Ni pamoja na kudhibiti upandaji holela wa bei ya bidhaa hiyo muhimu.
Ukiongoza kwa asilimia 101.5, mkoa wa Dodoma, ambao ndiyo makao makuu ya nchi, unafuatiwa na Ruvuma ( asilimia 91.1) na Mwanza (asilimia 79.5).
Unyonyeshaji mbaya umehusishwa na watoto wengi kusumbuliwa na tatizo hilo.
Serikali inaamini mafanikio haya yatarahisisha utekelezaji wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi linalotarajiwa kuanza hapo Agosti 23, 2022.
Moja kati ya faida za mfumo huo ni kuondokana na madalali na kuirahisishia Serikali kukusanya mapato.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved