Hili Linakuhusu Kama Unategemea Kusafiri Nje ya Tanzania Kikazi
Watanzania wametakiwa kufuata utaratibu rasmi pale wanapotaka kutoka nje ya nchi kwa ajili ya kufanya kazi kwani hiyo inawarahishia kupata msaada stahiki pale wanapopatwa na tatizo linalohusiana na kazi kwenye nchi waliyofikia.