Wadau wa Elimu Wahoji Ukimya wa Dira ya Taifa Katika Kutambua Nafasi ya Kiswahili Kwenye Elimu.
Tuwekeze katika Kiswahili na elimu bora ili tupate wahitimu wa shule na vyuo ambao ni wadadisi na wanaoweza kuhaurisha maarifa waliyoyapata kwa manufaa yao na jamii.