The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: Katiba Mpya – Page 13

The Chanzo Morning Briefing

The Chanzo Morning Briefing – May 17, 2022. 

In our briefing today: Speaker Tulia declines to sack 19 former CHADEMA members, cites court injunction; Jussa calls for national consultative conference to rid Tanzania of constitutional impasse; Voluntary or Not? Maasai People Explain Their Views on ‘Relocation’ Exercise; China, Germany and UK establish consulates in Dodoma.   

Nini Kimekwamisha Mabadiliko ya Sheria ya Usalama Barabarani Tanzania?

Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani wa mwaka 2021 ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni mnamo Juni 30, 2021, ikiwa ni baada ya miaka takriban sita ya ushawishi, uchechemuzi na vuguvugu kufanikisha hatua hiyo. Hata hivyo, tangu kusomwa kwake muswada huo ulipotolea kusikojulikana na hivyo hatma yake kutojulikana.

Viti Maalumu Vishindaniwe Kwa Wananchi

Ni muhimu kuanzishwe mfumo mpya utakaofanya wanawake wa vyama mbalimbali wapambane kutafuta kura kwa wananchi moja kwa moja kuliko mfumo wa sasa ambapo viti hivyo vinaonekana kama fadhila au hisani za viongozi  kwa wanawake kuliko stahili yao iliyotokana na uwezo.

Ndugai, Ni Mikopo Kweli au Kampeni Dhidi ya Mkopaji?

Ushahidi unaonesha kwamba Kiongozi huyo wa muhimili wa Bunge hakerwi na ongezeko la deni la taifa kwani kwa kipindi cha miaka mitano ya Rais Magufuli, Ndugai hakuwahi kujitokeza hadharani na kuonesha wasiwasi wake wa nchi kupigwa mnada.