Azali wa Comoro Anavyoendelea Kumdhibiti Rais wa Zamani Sambi Kifungoni
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.
In our briefing today: Speaker Tulia declines to sack 19 former CHADEMA members, cites court injunction; Jussa calls for national consultative conference to rid Tanzania of constitutional impasse; Voluntary or Not? Maasai People Explain Their Views on ‘Relocation’ Exercise; China, Germany and UK establish consulates in Dodoma.
He says whether Tanzania needs the New Constitution or not is no longer a debatable issue.
In our briefing today: Police release activist Peter Madeleka after holding him incommunicado for six days; Barrick reports water pipeline failure at its North Mara mine; Its Union Day.
Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani wa mwaka 2021 ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni mnamo Juni 30, 2021, ikiwa ni baada ya miaka takriban sita ya ushawishi, uchechemuzi na vuguvugu kufanikisha hatua hiyo. Hata hivyo, tangu kusomwa kwake muswada huo ulipotolea kusikojulikana na hivyo hatma yake kutojulikana.
The Chanzo inazungumza na mwanaharakati Tito Magoti kupata mtazamo wake wa haki za binadamu chini ya utawala wa Rais Samia Suluhu Hassan na mapendekezo yake ya namna ya kuboresha mfumo wa haki jinai nchini Tanzania.
Ni muhimu kuanzishwe mfumo mpya utakaofanya wanawake wa vyama mbalimbali wapambane kutafuta kura kwa wananchi moja kwa moja kuliko mfumo wa sasa ambapo viti hivyo vinaonekana kama fadhila au hisani za viongozi kwa wanawake kuliko stahili yao iliyotokana na uwezo.
Uchambuzi huu unafanyika kwa kutoa alama maalumu kwa mawaziri wote. Alama A itamaanisha aliyefanya vizuri sana. B vizuri. C ikimaanisha kawaida. D ikiwa isiyoridhisha na F ikimaanisha mbaya.
Ushahidi unaonesha kwamba Kiongozi huyo wa muhimili wa Bunge hakerwi na ongezeko la deni la taifa kwani kwa kipindi cha miaka mitano ya Rais Magufuli, Ndugai hakuwahi kujitokeza hadharani na kuonesha wasiwasi wake wa nchi kupigwa mnada.
Mwandishi huyo na mshauri wa siku nyingi wa masuala ya habari anasema bila ya Serikali kuwa na uvumilivu ni vigumu kupata sheria na kanuni rafiki kwa waandishi wa habari na vyombo vyao vya habari
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved