The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: Katiba Mpya – Page 15

Ally Saleh: Nilichokisema Kura Ya Mapema Kimekuwa

Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho. 

Afrika Na Demokrasia Bado Mguu Ndani, Mguu Nje

Watawala wanazibadili katiba ili waendelea kubakia madarakani. Katika kundi hilo kuna waliokwenda kinyume na kauli zao wenyewe kwamba wameingia madarakani sio kubakia kama wale waliowatangulia bali wataondoka watakapomaliza mihula yao kikatiba.