
CCM Inatarajia Kujifunza Nini Hasa Kutoka BJP ya India?
Uhusiano baina ya vyama vya CCM na BJP ni jambo linalohitaji tafakuri na mawazo ya kina.
Uhusiano baina ya vyama vya CCM na BJP ni jambo linalohitaji tafakuri na mawazo ya kina.
Waziri wa Habari asema muswada tayari upo katika ngazi ya Makatibu Wakuu.
Je, hizi vurugu za vikundi vya jamii zenye asili ya taifa moja kutaka kijenga na kuanzisha nchi yao siyo dalili za utumwa mpya?
TAKUKURU yasema kwa kiasi kikubwa malalamiko hayo huhusiana na matumizi mabaya ya madaraka.
Kiongozi huyo wa kijeshi amedhamiria kuikomboa Burkina Faso kutoka kwenye ufukara na ukoloni mamboleo. Swali ni je, atafanikiwa?
Kama hatuwezi kujenga ofisi yetu wenyewe, tutaweza kujenga miundombinu mikubwa ya umwagiliaji?
Nilikuwa mmoja kati ya watu wengi walioteswa vikali baada ya Uchaguzi Mkuu wa 2020. Natumai kisa changu kitachangia kwenye michakato inayoendelea nchini ya kutafuta maridhiano ya kisiasa na kuboresha mfumo wa utoaji haki.
Wakenya na dunia nzima wanasubiri kwa hamu kujua endapo Ruto atakuwa Rais wa tano wa Kenya au uchaguzi utarudiwa.
Ni matakwa ya sheria ya EPOCA inayolalamikiwa kwa kuminya uhuru wa habari Tanzania.
Kwa sababu wao ndiyo waajiri wa Serikali, wananchi wanapaswa kuhakikisha Serikali yao inafanya mambo yanayokidhi maslahi na matakwa yao, na siyo vinginevyo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved