Zitto Kabwe: Hili la Wamachinga Linanisononesha Sana
Kwenye sehemu ya pili ya mahojiano na mwanasiasa huyo, Zitto anafafanua kinachoendelea nchini Ethiopia pamoja na kutoa tathmini yake ya Serikali ya Rais Samia.
Kwenye sehemu ya pili ya mahojiano na mwanasiasa huyo, Zitto anafafanua kinachoendelea nchini Ethiopia pamoja na kutoa tathmini yake ya Serikali ya Rais Samia.
Msanii huyo anasema kwamba hana mawazo ya kukimbilia uhamishoni kuepukana na usumbufu anaoupata kutoka kwa vyombo vya dola vya Tanzania ambavyo anadai vimemfanyia kila aina ya masaibu yanayolenga kumfanya aache aina ya mziki anaoufanya.
Yanayotokea Sudan yanadhihirisha wazi kwamba jeshi la nchi hiyo halina nia ya kubaki kama taasisi ya ulinzi wa taifa.
Nguli huyo wa historia nchini anabainisha umuhimu wa watu kujua historia yao akisema kwamba mtu akinyang’anywa historia yake ndio amenyang’anywa utu wake.
Serikali yasema suala la uraia pacha ni suala lenye mchakato mrefu wa kikatiba.
Ni kuhusu vilio vya haki dhidi ya mfumo wa haki jinai nchini.
Wengi wanadhani ni hivyo, lakini siyo wote.
Ni kuhusiana na matakwa ya kikatiba na kisiasa ya hatua hiyo.
Hatutarajii Rais Samia atakuwa na falsafa, maono na dira ile ile ya mtangulizi wake bila kupishana hata kidogo. Hivyo basi, anapaswa kupewa fursa ya kuipanga upya safu yake ya uongozi ili kuendana na dira yake.
Uzoefu wake kwenye masuala ya kiserikali na uthubutu wake wa kusema na kufanya anachokiamini bila woga unamfanya Othman Masoud kuwa chaguo sahihi kwa nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved