The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: muungano – Page 14

Miruzi Mingi Yamuweka Rais Samia Katika Njia Panda

Rais Samia anakabiliwa na changamoto za kukidhi matakwa ya makundi mbali mbali ya kijamii, kisiasa na kiraia. Wakati hawezi kukidhi matakwa ya kila kundi kwa kasi inayotakiwa na kundi husika, Rais Samia ana nafasi ya kuandika historia tofauti na ile ya mtangulizi wake.

Je, Rais Mwinyi Ni Abiy Wa Zanzibar?

Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?