Wasomi Watofautiana Hoja ya Rais Samia Kubadilisha Baraza la Mawaziri
Ni kuhusiana na matakwa ya kikatiba na kisiasa ya hatua hiyo.
Ni kuhusiana na matakwa ya kikatiba na kisiasa ya hatua hiyo.
Hatutarajii Rais Samia atakuwa na falsafa, maono na dira ile ile ya mtangulizi wake bila kupishana hata kidogo. Hivyo basi, anapaswa kupewa fursa ya kuipanga upya safu yake ya uongozi ili kuendana na dira yake.
Matumaini ya wananchi kwa Rais Suluhu yapo juu huku Rais huyo wa sita wa Tanzania akichukua taifa lililogawanyika kisiasa.
Dr John Pombe Magufuli, Raisi Wa Tanzania Amefariki Dunia
Uzoefu wake kwenye masuala ya kiserikali na uthubutu wake wa kusema na kufanya anachokiamini bila woga unamfanya Othman Masoud kuwa chaguo sahihi kwa nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar.
Shamrashamra za Sikukuu ya Krismasi na Mwaka Mpya zinaendelea sehemu mbalimbali duniani. Ndugu, jamaa na marafiki wanajumuika kwa furaha wakibadilishana mawazo na kujipumzisha. Ni wakati
Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
VIGEZO NA MASHARTI Utangulizi Vigezo hivi na masharti vinaongoza matumizi yako ya tovuti hii; kwa kutumia tovuti hii, unakubali vigezo na masharti haya kwa ukamilifu.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved