The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Search Results for: muungano – Page 11

Wanasiasa, Wanaharakati Wataka Masheha Wapigiwe Kura Zanzibar

Kumekuwapo na tuhuma kwamba katika utekelezaji wa majukumu yao Masheha wamekuwa wakikipendelea chama cha CCM na wakila njama za kuvidumaza vyama vya upinzani. Tuhuma hizi huibuka zaidi wakati wa michakato ya chaguzi kuu kuanzia utoaji wa kadi za Mzanzibari Mkaazi na usajili wa daftari la wapiga kura.

Changamoto za Upatikanaji Vifaa Yakwamisha Kukamilika Kwa Mradi wa Fedha za Tozo

Awamu ya kwanza ya ujenzi wa mradi wa ujenzi wa kituo cha afya kata ya Idetemya iliyopo Misungwi mkoani Mwanza ilitegemewa kukamilika Januari 10,2022, lakini kutokana na changamoto za upatikanaji wa vifaa vya ujenzi mradi huo utakamilika Februari 28,2022. Mradi huo unagharimikiwa na fedha za tozo ya miamala ya simu

Tuongee Kuhusu Shahada za Udaktari wa Heshima

Kufuatia hatua ya Mbunge Msukuma kutunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na chuo kimoja, hatua ambayo imezua mjadala mpana kuhusiana na utolewaji wa shahada hizo, ni muhimu kujiuliza hizi ni shahada za mchango au mchongo?