Timu ya watu 19 TRA iliiletea serikali bilioni 108 za kodi, kwa nini serikali isiwekeze zaidi hapo?
Timu ya watu 19 kutoka Kitengo cha Kufuatilia Kodi za Kimataifa ndani ya TRA iliiletea Serikali Shilingi bilioni 108 za kodi baada ya kufanya ukaguzi kwenye makampuni 60 ya kimataifa.