
Hivi Ndivyo UVIKO-19 Inavyoliza Wafanyakazi Sekta ya Utalii Zanzibar
Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.
Wafanyakazi wengi ambao kazi zao zimeharibiwa na janga la UVIKO-19 hawaoni juhudi za Serikali kupunguza makali yatokanayo na athari za ugonjwa huo hatari.
Kwamba ACT-Wazalendo wameamua kufuata ushauri wa hayati Maalim Seif Sharif Hamad wa nani awe mrithi wake kwa nafasi ya Makamo wa Kwanza wa Rais inaonesha ni kwa kiasi gani kiongozi huyo alikuwa na ushawishi usiokifani kuweza kuamua mambo kutokea kaburini.
The giant of Zanzibar politics died at the Muhimbili National Hospital where he was undergoing treatment.
The Government of National Unity alone is not the change we seek. It is only the chance to make that change happens.
Suluhisho sio kujiunga ama kutojiunga kwa ACT-Wazalendo katika Serikali ya Umoja wa Kitaifa. Suluhisho ni kufanyika kwa mjadala wa kina kuhusu tuhuma za kasoro za kimfumo zinazoibuka kila wakati wa uchaguzi na kuzifanyia kazi.
Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.
In our briefing today: TLS demands respect for lawyers, decries unlawful arrests while performing their duties;
President Samia officially launches electric train and SGR project
His Excellency, Alhaj Ali Hassan Mwinyi, affectionately known as Mzee Rukhsa, who had the rare distinction of serving as the third President of Zanzibar from
Jambo linalosikitisha zaidi kwenye makosa ya Kiswahili yanayofanywa na wanahabari ni kwamba makosa hayo hufanywa na vyombo vya habari vya Tanzania, nchi inayojinasibu zaidi na Kiswahili sanifu na fasaha.
CCM and ACT Wazalendo, who also serve as partner parties in the Zanzibar Government of National Unity, are embroiled in a heated exchange of words regarding alleged irregularities in the Mtambwe by-election.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved