
Changamoto za Msingi Zinazosubiri Utatuzi Kutoka Kwa Rais Samia
Ni mambo ambayo wananchi wanategemea Rais Suluhu kuyafanyia kazi ndani ya siku zake 100 tangu aapishwe kuwa Rais wa Tanzania.

Ni mambo ambayo wananchi wanategemea Rais Suluhu kuyafanyia kazi ndani ya siku zake 100 tangu aapishwe kuwa Rais wa Tanzania.

Dr. Ngozi atapaswa kurejesha imani za watu juu ya taasisi hiyo iliyohusika kwa njia moja au nyengine kukandamiza mataifa mengi ya Afrika kwa kusimamia sera zinazoyanufaisha mataifa tajiri.

Uzoefu wake kwenye masuala ya kiserikali na uthubutu wake wa kusema na kufanya anachokiamini bila woga unamfanya Othman Masoud kuwa chaguo sahihi kwa nafasi ya Makamu wa Kwanza wa Raisi wa Zanzibar.

Tofauti na Ethiopia ya Abiy, Zanzibar ni sehemu ya Tanzania. Ni kiasi gani Mwinyi ‘ataruhusiwa’ kuwashughulikia wahafidhina wa tabaka la watawala wa Zanzibar bila kuingiliwa na mamlaka za Jamhuri ya Muungano?

Dk Mwinyi alisema anataka apate ushindi ambao hauna mabishano. Ukweli ni kwamba ushindi wake wa asilimia 76 una mabishano makubwa na utaendelea kuwa na mabishano.

Msingi wa sintofahamu ya kisiasa ya Zanzibar kwa sasa ni upigwaji wa Kura ya Mapema ambayo viongozi na wafuasi wa ACT-Wazalendo waliipinga wakihisi imewekwa kupora ushindi wao lakini mamlaka zikapuuza kilio hicho.

Kilicho cha muhimu ni kuhakikisha kuwa wananchi kupitia vyombo vyao vya kidemokrasia wanakuwa na mamlaka ya kujiamulia na kujisimamia katika shughuli zao za kujiletea maendeleo.

Wafuatiliaji wa siasa wameonesha hofu yao kuwa kama CHADEMA ikipoteza kuaminika kwa wananchi, itakuwa vigumu kujipanga na kuongoza vuguvugu katika sera zake.

Saleh, gwiji la utangazaji kutoka Zanzibar, anasema amedhamiria kuyanyoosha yote yaliyopinda kwenye jamii kupitia uandishi wake.

Nchini Tanzania kuna ombwe la kupata mwanasiasa ambaye anaya makundi yote yaliyopo nchini kama alivyokuwa Edward Lowassa mwaka 2015. Watanzania hawajamwona mwanasiasa huyo bado.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved