Umalizaji Kesi Kienyeji Unavyochochea Kushamiri kwa Matukio ya Ulawiti, Ubakaji
Wadau wana hofu kwamba kama hali itaendelea kubaki hivyo hivyo, vitendo vya ulawiti na ubakaji dhidi ya watoto vitazidi kushamiri Tanzania.
Wadau wana hofu kwamba kama hali itaendelea kubaki hivyo hivyo, vitendo vya ulawiti na ubakaji dhidi ya watoto vitazidi kushamiri Tanzania.
Ni familia zilizopoteza wapendwa wao kwenye wimbi la mauaji holela yaliyoikumba Mtumba, jijini Dodoma, kati ya Oktoba 2022 na mapema 2023.
Wananchi wanabainika kuwa na mawe kwenye figo wanasikia maumivu makubwa sana pembeni ya tumbo karibia na mgongo
Canada imetangaza kutoa msaada wa dola milioni 25 za Canada, takribani bilioni 46 za Kitanzania zitakazotumika katika mradi wa elimu uitwao ‘Kila Binti Asome’
Wataalam waeleza njia hiyo ni ya uharaka ili kupata ufumbuzi wa suala husika.
Ushiriki wa wanawake kwenye uongozi umeendelea kuwa mdogo, huku mfumo dume ukitajwa kuchochea hali hiyo.
Utamaduni huo unahusishwa na kujengeka kwa mahusiano mazuri kati ya baba na mtoto atakayezaliwa.
TAKUKURU inaamini kwamba elimu juu ya rushwa kwa watoto wadogo itasaidia kujenga taifa la wachukia rushwa.
Inakuwa hospitali ya pili nchini kutoa huduma hiyo baada ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili.
Huku makisikio yakionesha jiji la Dodoma kuwa na wakazi wapatao 1,972,968 ifikapo mwaka 2051, mamlaka jijini humo ziko mbioni kutafuta vyanzo vipya vya maji.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved