Migogoro Isiyokwisha Kilosa Yawasukuma Wakulima Kutafuta Kikao na Majaliwa
Migogoro ya ardhi Kilosa yaelezwa kudumu kwa takriban miaka 10, ikifanya maisha ya wenyeji wa huko, wengi wao wakiwa ni wakulima na wafugaji, kuwa magumu.
Migogoro ya ardhi Kilosa yaelezwa kudumu kwa takriban miaka 10, ikifanya maisha ya wenyeji wa huko, wengi wao wakiwa ni wakulima na wafugaji, kuwa magumu.
Wadau wengi wanaamini jamii itakuwa na ustawi mzuri zaidi kuliko ilivyo hivi sasa.
Ni simulizi ya Wema Hassan Hamis, mama wa watoto wawili anaelezea changamoto alizokutana
nazo toka akiwa msichana mpaka sasa. Wema anaihimiza serikali kufanya urahisi kwa watu wenye ulemavu kuipata mikopo ya Halmashauri
Sensa ni hatua muhimu kwenye mchakato mzima wa kuwaletea wananchi maendeleo.
Uzito wa ujifunzaji ni ile hali inayomkabili mtoto na kumsababishia ugumu fulani kwenye kusoma, kuandika au kuhesabu.
Serikali na wadau wengine wanapaswa kufanya zaidi kuwasaidia walemavu kukabiliana na ubaguzi mahala pa kazi.
Wadau wanakubaliana juu ya haja ya kuendelea kupigania mabadiliko kwenye sekta ya haki za kidijitali nchini ili watu wenye ulemavu waweze kunufaika na haki hizo.
Serikali inasema mfumo huo unalenga kuzisaidia mamlaka husika kupangalia mipango yake na maendeleo kwa wafugaji vizuri zaidi.
Pamoja na faida nyengine, mfumo huo unategemewa kurahisisha utambuzi wa wakazi na makazi katika ili kurahisisha mchakato wa kupeleka maendeleo kwa wananchi.
Mamlaka hiyo yenye jukumu la kusimamia maudhui kwenye mitandao ya kijamii imetoa wito huo katikati ya maoni ya wadau wanaolalamikia kuongezeka kwa vitendo vya udhalilishaji wanawake kwenye mitandao hiyo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved