Fatma Taufiq: Wanawake Tunahitaji Ukombozi wa Kiuchumi
Mbunge huyo wa Viti Maalum anasema kwamba bila ukombozi madhubuti wa kiuchumi harakati za kumkomboa mwanamke kisiasa unaweza kuchukua muda mwingi zaidi kufanikiwa kuliko inavyotegemewa.
Mbunge huyo wa Viti Maalum anasema kwamba bila ukombozi madhubuti wa kiuchumi harakati za kumkomboa mwanamke kisiasa unaweza kuchukua muda mwingi zaidi kufanikiwa kuliko inavyotegemewa.
Wanawake hao wanataja mila potofu na mifumo mingine kandamizi inayowazuia kumiliki ardhi, kitu wanachosema kinakwamisha hatua zao za kujiletea maendeleo wanayoyataka.
Wadau wanaamini kwamba sheria na sera ambazo zimekuwa zikipitishwa na vyombo vya EAC kama vile Sekretarieti na Bunge la Afrika Mashariki zimekuwa hazizingatii suala la jinsia pamoja na wafanyabiashara wadogo.
Mwenyekiti huyo wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora anasema kwamba Serikali ilianzisha mchakato wa kuandika Katiba Mpya kwa sababu ilioni hatua hiyo ni muhimu kwa taifa na hivyo haina budi kuukamilisha mchakato huo.
Muswada wa Sheria ya Marekebisho ya Sheria ya Usalama Barabarani wa mwaka 2021 ulisomwa kwa mara ya kwanza bungeni mnamo Juni 30, 2021, ikiwa ni baada ya miaka takriban sita ya ushawishi, uchechemuzi na vuguvugu kufanikisha hatua hiyo. Hata hivyo, tangu kusomwa kwake muswada huo ulipotolea kusikojulikana na hivyo hatma yake kutojulikana.
Watunga sheria hao walitoa wito huo wakati wakiongea na The Chanzo pembezoni mwa mafunzo yaliyoandaliwa na Taasisi ya Vyombo vya Habari Kusini mwa Afrika (Misa-Tan) yaliyofanyika mnamo Februari 12, 2022, yaliyolenga kuwafahamisha wawakilishi hao wa wananchi kwenye vifungu vya sheria na kanuni vinavyominya uhuru wa vyombo vya habari nchini.
With the exception of one candidate from the opposition Alliance for Democratic Change (ADC) party Maimuna Saidi, the opposition has largely ignored the race, probably motivated by their belief that the current parliament is illegitimate and thus shirk any involvement with its dealings
The Speaker of Parliament says he takes full responsibility for what he said and he is sorry to Tanzanians that he has wronged.
Wadau wa sekta ya habari na vyombo vya habari ulimwenguni kote wamekuwa wakibainisha umuhimu wa wahariri na waandishi wa habari kuendana na kasi ya mabadiliko ya kiteknolojia.
Waandishi na wahariri katika vyombo vingi vya habari nchini wanadaiwa kuwa na muamko mdogo kwenye kuandika habari zinazohusiana na haki za kiraia na uhuru wa kujieleza.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved