Mabeyo: Jeshi Lilisimama Kidete Kuilinda Katiba Baada ya Kifo cha Rais Magufuli
Mkuu wa Majeshi anataja kipindi hicho kama moja ya vipindi vigumu sana wakati wa uongozi wake jeshini.
Mkuu wa Majeshi anataja kipindi hicho kama moja ya vipindi vigumu sana wakati wa uongozi wake jeshini.
Ufaransa imekuwa ikitumia utaratibu jumuishi ambapo wenyeji na mamlaka za Serikali hushirikiana katika kuhakikisha kwamba maliasili zinahifadhiwa na manufaa kwenda kwa wenyeji na Serikali kwa pamoja.
Ni yule mwandishi aliyemuhoji kada wa CCM ambaye alidai kwamba hadhani Rais Mwinyi anapaswa kuwa Rais wa Zanzibar baada ya 2025.
Wanasema bajeti haiakisi mchakato unaoendelea nchini wa kudai mageuzi ya kisiasa.
Chama hicho kinadai bajeti imeshindwa kutoa muelekeo sahihi ambao Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan inaelekea.
Maswaibu hayo yanajumuisha udanganyifu, unyonywaji, manyanyaso na hata kifo.
The CHADEMA leader says the debate on what should come first between basic legal and regulatory reforms and the New Constitution is useless for the two processes can be undertaken simultaneously.
The presentation will take place in Dodoma on May 7.
ACT-Wazalendo yataka uwazi uongezeke ndani ya Serikali na Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali vizuri kama njia ya kuzuia ubadhirifu ndani ya Serikali usitokee.
The conference is part of the national process aimed at examining the status of multiparty democracy in Tanzania with the goal of making it serves the best interests of the country.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved