
Tutawezaje Kubuni Katika Mazingira ya Uhuru wa Mashaka?
Ubunifu hauwezi kushamiri kwenye jamii inayoendekeza uimla na heshima isiyohojiwa kwa mamlaka.
Ubunifu hauwezi kushamiri kwenye jamii inayoendekeza uimla na heshima isiyohojiwa kwa mamlaka.
Hii inaweza kuwa njia imara ya kufanikisha lile ambalo Serikali imeshindwa kulifanikisha mpaka sasa: kusimamia uwajibikaji kwenye mashirika haya na kuyafanya yazalishe faida badala ya hasara.
Namna pekee ambayo haitakuwa na madhara kwa ACT-Wazalendo ni endapo kama chama hicho hakimaanishi kile inachosema, yaani inatishia nyau tu lakini inajua haiwezi kutoka kwenye SUK.
Pamoja na ufasaha wa lugha na lafudhi nzuri, Hayati Mwinyi anatajwa kuwa mwandishi mzuri anayejua kuzingatia taratibu za uandishi, mantiki ya tungo, mpangilio wa maneno, sentesi na vifungu vya habari.
Ukiondoa utani na mzaha, kusema ukweli Tanzania na Kenya ni zaidi ya majirani, wakitegemeana sana kwenye masuala ya uchumi na biashara na hata utamaduni.
Wadau mbalimbali waliotoa mapendekezo yao kuboresha miswada hiyo wamehisi kudharauliwa, wakimtaka Rais Samia asikubali kutia doa mchakato wa mageuzi aliouasisi kwa kusaini miswada hiyo kuwa sheria.
Baadhi ya hayo ni kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara pamoja na suala la uwekezaji kwenye bandari ya Dar es Salaam.
Sidhani katika hali ya kawaida Dkt. Mpango angeacha kutoa pole au kusafiri hadi Hanang kuwapa pole waathirika wa maafa.
Zabuni kadhaa, zikiwemo za kuendesha bandari na viwanja vya ndege, zimetolewa kinyume na sheria ya manunuzi ya umma ya Zanzibar.
Je, mageuzi yanayotafutwa Tanzania ni kwa maslahi ya wanasiasa tu au kwa maslahi ya kila Mtanzania?
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved