
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo na Miaka 63 ya ‘Uhuru wa Migogoro’
Kwa kiwango fulani migogoro nchini DRC imekuwa ikichochewa na wakolini wake wa zamani na mataifa mengine ya Magharibi.
Kwa kiwango fulani migogoro nchini DRC imekuwa ikichochewa na wakolini wake wa zamani na mataifa mengine ya Magharibi.
Mwanaharakati huyo wa ukombozi wa bara la Afrika aliaga dunia hapo Disemba 2, 2022.
Kung’ang’ania kauli kwamba CCM Zanzibar ilishika dola kwa mtutu wa bunduki na hivyo haiwezi kuiachia kwa sanduku la kura ni kujiangamiza.
Lipo kwa kuachiwa huru kwa Mbowe na uteuzi wa Faiza kama Mkurugenzi wa ZEC
Yumo Rais Samia Suluhu Hassan aliyetunukiwa shahada ya udaktari wa heshima kutoka Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
Ni dhana inayotambua uhusiano na mwingiliano uliopo kati ya binadamu, wanyama, mimea na mazingira yao. Husaidia kwenye kinga dhidi ya magonjwa.
Mnyukano unaonekana ulikuwa mkali kwenye siasa za ndani ya Zanzibar tu, huku maoni ya wadau yakionekana kufanana linapokuja suala la Muungano.
Dira yake ya kutaka kuigeuza Zanzibar kuwa ‘Singapore ya Afrika’ ilitawala mkutano wa kuenzi urathi wake kwenye elimu.
Kwa kuamua kutumia Kiingereza badala ya Kiswahili, tena nchini Tanzania ambapo watu wake wengi ni wazungumzaji wa Kiswahili, Rais Ruto amezipa nguvu kasumba zinazohusu lugha hizo mbili.
Ataka mifumo na taasisi ziwekwe ambazo zitahakikisha watawala wanawajibika kwa wananchi.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved