
Azali wa Comoro Anavyoendelea Kumdhibiti Rais wa Zamani Sambi Kifungoni
Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.

Utulivu wa kisiasa visiwani humo litakuwa ni suala linaloendelea kupewa kipaumbele na jirani yake Tanzania pamoja na SADC ambao Comoro pia ni mwanachama.

Ubunifu unahitajika sana katika ufundishaji wa watoto hawa ili kuwawezesha watamani kubaki madarasani badala ya kurudi mitaani.

ACT-Wazalendo yataka uwazi uongezeke ndani ya Serikali na Bunge lifanye kazi yake ya kuisimamia Serikali vizuri kama njia ya kuzuia ubadhirifu ndani ya Serikali usitokee.

Mjumbe huyo wa zamani wa Baraza la Wawakilishi la Zanzibar anasema mchakato wa kudai Katiba Mpya unaweza kwenda sambamba na ule wa kudai mageuzi madogo kwenye mfumo wa usimamizi wa uchaguzi nchini, na kwamba si suala la kipi kitangulie kipi, huku akidai hiki ndiyo chama chake cha ACT-Wazalendo kinachomaanisha kwa kauli mbiu yake ya Tume Huru Kuelekea Katiba Mpya.

Ni kwa namna gani kiongozi huyo wa upinzani atasawazisha matakwa ya wafuasi wake na yale ya Serikali ya Samia ambayo sasa anaonekana kuelewana nayo baada ya kundosha mashtaka ya ugaidi dhidi yake?

Wengi wanaamini mlango wa mazungumzo unaweza ukafunguka tena. Hatua ya hivi karibuni ya nchi za ulaya na marekani kuzuia benki za Urusi kutumia mfumo wa kibenki wa swifti pamoja na NATO kuongeza majeshi karibu na mipaka ya Urusi inaweka shinikizo zaidi kwa Urusi kurudi kwenye mazungumzo.

Wadau wa siasa nchini wanabainisha kwamba mnufaika mkubwa wa mtifuano kati ya vyama hivyo viwili vya upinzani nchini ni yule kila mmoja wao analenga kuitoa madarakani – CCM.

Wafanyakazi hao wanamlalamikia Waziri wa Kilimo Hussein Bashe ambaye alikuwa Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni hiyo wakati wafanyakazi hao kutoka idara mbalimbali na maeneo mbalimbali ya nchi walikuwa wakiitumikia kampuni hiyo.

ACT-Wazalendo kuwemo ndani ya Serikali ya Umoja wa Kitaifa huko Zanzibar ni moja ya fursa muhimu inayoweza kusaidia ukuaji wa chama hicho. Moja ya changamoto ni je, chama hicho kitafanikiwa kutafsiri mafanikio yaliyopatikana huko Zanzibar na kuyahamishia Tanzania Bara?

Tunapoelekea katika uandishi wa Katiba Mpya, ambao nahisi hauepukiki, yafaa suala la uwakilishi serikalini lizingatiwe ili kuondoa uwezekano wa taifa kupasuka na kugawanyika.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved