
Ni Kwa Namna Gani Mbowe Ataweza Kufaulu Mtihani Huu?
Ni kwa namna gani kiongozi huyo wa upinzani atasawazisha matakwa ya wafuasi wake na yale ya Serikali ya Samia ambayo sasa anaonekana kuelewana nayo baada ya kundosha mashtaka ya ugaidi dhidi yake?