The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search Results for: serikali ya umoja wa kitaifa – Page 7

Nini Kimesababisha Mgogoro wa Urusi na Ukraine?

Wengi wanaamini mlango wa mazungumzo unaweza ukafunguka tena. Hatua ya hivi karibuni ya nchi za ulaya na marekani kuzuia benki za Urusi kutumia mfumo wa kibenki wa swifti pamoja na NATO kuongeza majeshi karibu na mipaka ya Urusi inaweka shinikizo zaidi kwa Urusi kurudi kwenye mazungumzo.

Tuongee Kuhusu Shahada za Udaktari wa Heshima

Kufuatia hatua ya Mbunge Msukuma kutunukiwa Shahada ya Udaktari wa Heshima na chuo kimoja, hatua ambayo imezua mjadala mpana kuhusiana na utolewaji wa shahada hizo, ni muhimu kujiuliza hizi ni shahada za mchango au mchongo?

×
×