Wazazi wa Watoto Njiti Bahi Wafurahia Kufikiwa na Huduma za Watoto Wao
Angalau watoto njiti 36 wapatiwa huduma katika Kitengo cha Watoto Njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bahi, Dodoma.
Angalau watoto njiti 36 wapatiwa huduma katika Kitengo cha Watoto Njiti katika Hospitali ya Wilaya ya Bahi, Dodoma.
Yataka utoaji wa adhabu shuleni uzingatie waraka namba 24 wa mwaka 2002 wa Wizara ya Elimu na Utamaduni
Asema hatua ya kwanza muhimu ni kuwa na walimu wanaoweza kufundisha masomo hayo.
Imani kwamba watu wenye kigugumizi wana hasira hutokana na kutokujua namna nzuri ya kuongea nao.
Polisi na wadau wa usalama barabarani wanasema usafiri huo siyo salama kwa wasafiri.
Baadhi ya mambo waliyopendekeza wadau ni pamoja na kuongeza uwekezaji na kutumia njia rafiki za kukusanya kodi
It comes down to three things availability of geological data, capital, and modernization of mining sites.
Kutakuwa na ajira, kuongezeka kwa kiwango cha kodi inayokusanywa kutokana na shehena zitakazosafirishwa na pia pato la taifa litaongezeka
TAKUKURU yasema kwa kiasi kikubwa malalamiko hayo huhusiana na matumizi mabaya ya madaraka.
Wanasema kucheleweshewa stahiki zao kunawapunguzia morali ya kazi na kuathiri ustawi wao.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved