Mpango Mkakati Wa Upatikanaji Wa Fedha Kwa Vijana Wazinduliwa Zanzibar
Mpango mkakati huo umelenga kuwawezesha vijana kuanzisha biashara na kuzisimamia huku wakijua hatua sahihi za kuendeleza biashara pamoja na kupata fedha kupitia taasisi za kiserikali na za binafsi.