Wakulima Wadogo Hawaridhishwi na Hali ya Ushirika Tanzania
Wakulima wanadai kwamba ushirika umeshindwa kuwasaidia kuondokana na changamoto zao za kila siku ikiwemo ukosefu wa masoko.
Wakulima wanadai kwamba ushirika umeshindwa kuwasaidia kuondokana na changamoto zao za kila siku ikiwemo ukosefu wa masoko.
Ni mwalimu wa Shule ya Sekondari ya Chipanga, wilyani Bahi aliyebainika akijihusisha na mapenzi na mwanafunzi wake wa kidato cha tatu.
Waandishi wa habari wanasema rushwa ya ngono si tu inawaathiri wahanga kisaikolojia bali pia inaua taaluma yenyewe ya uandishi wa habari nchini Tanzania.
Ingawaje kuna changamoto nyingi za kulea watoto peke yao bila wenza wao, ikiwemo hali ngumu za maisha pamoja na mtazamo hasi wa kijamii dhidi yao, kila mama amedhamiria kuwapatia watoto wake malezi yaliyobora.
Kama binadamu wengine, wagonjwa wa selimundu wanamapangufu yao ya kibinadamu, wana mazuri yao na wanatakiwa kuishi kama watu wengine.
Miradi mipya ya madini yanye thamani ya trilioni 1.8 inategemewa
Moja ni kukosekana kwa mbinu za kitaalaam za mahojiano baina ya watoto ambao ni wahanga wa ukatili wa kingono na maafisa wa polisi na Ustawi wa Jamii
Watoto 37 kati ya 100 wanaoishi kwenye makao makuu ya nchi wanakisiwa kuwa na tatizo la udumavu.
Anasema CCM imetupilia mbali misingi ya kifalsafa iliyopelekea kuanzishwa kwake.
Mbali na gharama za matibabu kuwa juu, wazazi wenye watoto wenye selimundu pia wanalalamikia uchache wa wataalamu pamoja na ukosefu wa baadhi ya vipimo.
The Chanzo Initiative, 2025 © All Rights Reserved