The Chanzo is hosting Digital Freedom and Innovation Day on April 20, 2024. Register Here

Search
Close this search box.

Category: Gender

Wanawake Wanaolea Watoto Peke Yao Waelezea Uzoefu Wao

Ingawaje kuna changamoto nyingi za kulea watoto peke yao bila wenza wao, ikiwemo hali ngumu za maisha pamoja na mtazamo hasi wa kijamii dhidi yao, kila mama amedhamiria kuwapatia watoto wake malezi yaliyobora.