Tunawezaje Kuwajengea Uwezo Thabiti Mabinti Zetu?
Tufahamu kuwa ili kuwasaidia watoto wa kike kujitambua na kufurahia kuwa mabinti, programu maalum za kuwajengea usawa, kujiamini, na kuheshimiana zinahitajika.
Tufahamu kuwa ili kuwasaidia watoto wa kike kujitambua na kufurahia kuwa mabinti, programu maalum za kuwajengea usawa, kujiamini, na kuheshimiana zinahitajika.
In our briefing today:
New land policy set to safeguard women’s inheritance rights;
Tanzania achieves modest growth of 4.6 pc in Q4 of 2023, driven by the service sector;
Lack of detailed reporting hampers efforts to address femicide in Tanzania
Siku zote tujaribu kumsikiliza na kumuelewa mtoto hisia zake, mawazo yake, juhudi zake yeye kama mtoto, kumsifu na kumpongeza akifanya vizuri.
Wananchi wanadai taka hizo huzuia mmomonyoko wa ardhi, CAG ashangaa, akitahadharisha athari za kiafya.
Watoto wana haki ya kulindwa. Kulindwa huko kunahusu kuzuia vitendo viovu wanavyofanyiwa katika kila hatua za ukuaji wao, kabla na baada ya kuzaliwa. Mathalani, mtoto
Mvua inaweza kuwa na athari kubwa na ni jukumu letu kama wazazi na walezi kuhakikisha tunatengeneza mazingira ya usalama kwa ajili ya watoto.
Ushahidi unaonesha kwamba adhabu ya viboko, makofi na nyingine kama hizo hazimsaidii mtoto. Badale yake, hupunguza tu hasira alizonazo mzazi juu ya kosa la mtoto.
Tabia hujengwa kwa muda, na siyo jambo la siku moja, cha msingi ni kuzingatia kwamba tunawafundisha watoto tabia hizo.
If Tanzania were to become a confederation between Tanganyika and Zanzibar, it would likely face most of the same challenges that led to the fall of Senegambia.
Kama tunakubaliana na ukweli kwamba mtoto hawezi kuzaliwa bila ya baba na mama, basi tukubaliane pia kuwa mtoto hawezi kulelewa kikamilifu bila baba na mama.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved