Tujadili Kuhusu Upakiaji Picha za Watoto Mitandaoni
Kila mmoja wetu ana jukumu la kusimamia ulinzi na usalama wa mtoto mtandaoni.
Kila mmoja wetu ana jukumu la kusimamia ulinzi na usalama wa mtoto mtandaoni.
Ni muhimu kwa wazazi na walezi kuweka mipaka iliyo wazi kuhusu matumizi ya vifaa vya teknolojia na muda wa kuvitumia.
Ili tuwe na taifa makini, tunahitaji mabadiliko katika malezi.
Wafanyabiashara wanawake sokoni hapo wanasema vyumba hivyo huwafanya kuwa na amani kwenye kufanya shughuli zao.
Wadau wana hofu kwamba kama hali itaendelea kubaki hivyo hivyo, vitendo vya ulawiti na ubakaji dhidi ya watoto vitazidi kushamiri Tanzania.
Wafundishe watoto kuombana msamaha kwa mifano, ukiwakosea waombe msamaha na wao watakuiga wakikukosea au wakikoseana.
Authorities’ insistence on using language as a medium of instruction elevates it to a status of religion with both peddlers and believers.
Wanawake wanaamini kwamba umiliki wa ardhi kisheria utawasaidia katika jitihada zao za kukabiliana na ukatili wa kijinsia unaotajwa kutamalaki visiwani humo.
Waswahili wanasema, maneno huumba! Fursa ya kujenga mtu makini unaipata punde unapopata mtoto.
Taasisi za elimu zisisitize kwenye ujenzi wa Stadi za Karne ya 21 kama ubunifu, fikra tunduizi na utatuzi wa matatizo.
The Chanzo Initiative, 2024 © All Rights Reserved